Skip to main content

CHANJO YA KUZUIA MAFUA YA KUKU ( INFECTIOUS CORYZA)



Chanjo hii inajumuisha chanjo mbili, infectious coryza ( mafua ya kuku) na Salmonela enteritidis ( Mharo kwa kuku

Chanjo hii inaweza kuchanja kuku 1000

Dalili za ugonjwa huu
 Huathiri kuku wa angalau miezi 2 (wiki 8) na kuendelea

  •  macho huvimba na kutokwa na machozi
  • kuku hutokwa na makamasi puani
  • Macho huzimba na kutoa kitu cha rangi kama jibini kwa ndani





Chanjo zipo za namna mbili
1: Vial za dozi 1000, bei tsh 240,000
2: Divided doses za 100,  bei 25,000 ( hii ni kwa ajili ya mfugaji tu, tunakuuzia kama sehemu ya matumizi sio ya kuuza , not offically authorized

Huduma ya chanjo unalipia nauli na chakula na kununua chanjo no extra cost
Wasiliana nasi kwa simu:
0757907861 au 0673305636


Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kutengeneza premix kwa ajili ya Chakula cha kuku wako.

Moja ya vitu vinaongezwa katika Chakula cha kuku ni premix. Hizi zinaweza kuwa ni mchanganyiko Wa vitamini, madini, vikuzi kama homoni, vvizuia magonjwa kama cocciostats . Vitu hivi vya muhimu katika mwili Wa kuku katika ukuaji na uzazi Wa kuku. AfriVet tunakuletea kijitabu kidogo lakini kichosheheni jinsi ya Kutengeneza premix za aina zote kwa ajili yako: Aina za premixes ni: 1: Chick premix - kwa ajili ya Vifaranga 2: Broiler premix- kwa ajili ya kuku Wa nyama 3: Layers premix-kwa ajili ya kuku Wa Mayai 4: Breeders premix- Kwa ajili ya kuku wazazi au kuku wanaotaga Mayai kwa ajili ya kutotolesha Kijitabu ni siri za kiwandani zimeanikwa hapa. Kwa wajasiriamali wanaotaka Kutengeneza bidhaa na Kuuza ni wakati wenu. Lakini kwa mfugaji mmoja Jipatie kitabu hiki kwa tsh. 20,000. Ni kidogo lakini kina siri za kukupeleka level nyingine ya Ufugaji Malighafi ni rahisi na zinapatikana

Ugonjwa Wa magamba ya Miguu ya Kuku ( Scaly leg disease)

Ugonjwa huu kitaalamu huitwa Scaly leg disease. Husababishwa na wadudu waitwao cnemidocoptes mutans. Mara nyingi miguu ya kuku huwa na magamba mengi. Katika hatua za awali kuku hutembea vzr baada huanza kuchechea na pengine kushindwa kutembea. Lakini pia kuku wanaweza kufa. "Matibabu* Kutibu ugonjwa huu huchukuwa weeks 3-4 kuku kupona *Dawa* *1:Spiriti ya kusafishia vidonda*. Paka spiriti ama chovya miguu ya kuku kwenye spirit. Dawa hii huwasha hivyo zoezi lichukuwe muda mfupi ukiwa unachovya *2: Mafuta ya mgando*. Paka mafuta kwenye magamba. Hii hulainisha magamba na kunyima hewa wadudu wanaosababisha ugonjwa huu. *3: Dawa ya ivermectin* Dondosha matone kadhaa ya Dawa hii kwenye magamba kwa muda wiki 1-2