Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2017

Jinsi ya Kutengeneza premix kwa ajili ya Chakula cha kuku wako.

Moja ya vitu vinaongezwa katika Chakula cha kuku ni premix. Hizi zinaweza kuwa ni mchanganyiko Wa vitamini, madini, vikuzi kama homoni, vvizuia magonjwa kama cocciostats . Vitu hivi vya muhimu katika mwili Wa kuku katika ukuaji na uzazi Wa kuku. AfriVet tunakuletea kijitabu kidogo lakini kichosheheni jinsi ya Kutengeneza premix za aina zote kwa ajili yako: Aina za premixes ni: 1: Chick premix - kwa ajili ya Vifaranga 2: Broiler premix- kwa ajili ya kuku Wa nyama 3: Layers premix-kwa ajili ya kuku Wa Mayai 4: Breeders premix- Kwa ajili ya kuku wazazi au kuku wanaotaga Mayai kwa ajili ya kutotolesha Kijitabu ni siri za kiwandani zimeanikwa hapa. Kwa wajasiriamali wanaotaka Kutengeneza bidhaa na Kuuza ni wakati wenu. Lakini kwa mfugaji mmoja Jipatie kitabu hiki kwa tsh. 20,000. Ni kidogo lakini kina siri za kukupeleka level nyingine ya Ufugaji Malighafi ni rahisi na zinapatikana

Ukosefu/Upungufu Wa Vitamin A ( Avitaminosis A /Hypovitaminosis A/ Vitamin A deficiency

Ukosefu au upungufu  Wa vitamin  A kwa kuku ( Avitaminosis A, hypovitaminosis A , Vitamin A deficiency)) kwa kuku.  Tatizo hili Mara nyingi hufananishwa na mafua hasa infectious coryza, mycoplasmosis na fowl cholera lakini zaidi sana kwa infectious coryza. Ugonjwa huu husababishwa na ukosefu au upungufu Wa  vitamin A na huathiri zaidi vifaranga Wa wiki 1-7 Vifaranga husiziasinzia, hukosa hamu ya kula, hudumaa kukua, hutoa makamasi na machozi puani na mdomoni. Macho huvimba na kuziba na ndani hutengeneza vitu vyenye rangi ya jibini ( cheese)( dalili hizi hufanana na infectious coryza kabisa) #Namna ya kutofautisha 1: Infectious coryza huanza kuathiri kuku Wa wiki 8 na kuendelea wakati upungufu Wa vitamini A huathiri zaidi vifaranga Wa chini ya wiki 7 na uwezekano hupungua kwa kuku wakubwa. 2: Infectious coryza kuku wengi huugua. Ni ugonjwa Wa kuambukiza kwa hiyo zaidi ya asilimia 80 ya kuku wanaweza kuugua wakati  upungufu Wa vitamini  A ni kuku kad...

Ugonjwa Wa magamba ya Miguu ya Kuku ( Scaly leg disease)

Ugonjwa huu kitaalamu huitwa Scaly leg disease. Husababishwa na wadudu waitwao cnemidocoptes mutans. Mara nyingi miguu ya kuku huwa na magamba mengi. Katika hatua za awali kuku hutembea vzr baada huanza kuchechea na pengine kushindwa kutembea. Lakini pia kuku wanaweza kufa. "Matibabu* Kutibu ugonjwa huu huchukuwa weeks 3-4 kuku kupona *Dawa* *1:Spiriti ya kusafishia vidonda*. Paka spiriti ama chovya miguu ya kuku kwenye spirit. Dawa hii huwasha hivyo zoezi lichukuwe muda mfupi ukiwa unachovya *2: Mafuta ya mgando*. Paka mafuta kwenye magamba. Hii hulainisha magamba na kunyima hewa wadudu wanaosababisha ugonjwa huu. *3: Dawa ya ivermectin* Dondosha matone kadhaa ya Dawa hii kwenye magamba kwa muda wiki 1-2 
INTEGRATED POULTRY FARMING PROJECT ( IPF) AfriVet Care Tanzania, we are part of it. Surely this is going to be a big project that shall bring drastic changes in poultry farming. This is a multi-stakeholders integrated farming project which brings different stakeholders interested in poultry farming to invest in the subsector. This project involves; 1: local farmers/ land owners 2: suppliers of vaccines, drugs and biologicals 3: Supplier of feed/ feed ingredients 4: Investors in farming ( commercial farmers or people wishing to invest) 5: Livestock experts 6: Chicken buyers Objective of the Project 1: To improve rural livehoods 2: To increase the scale of poultry farming 3: To increase farming opportunities to other interested people. 4. To increase marketability of chicken ,eggs and other farm products in Tanzania 5. To impart technology in poultry farming. Area of the project  Singida. But involving stakeholders in Tanzania Why Singida?? Singida is most...